Katavi ni moja ya hifadhi ya Taifa iliyopo Wilayani Mpanda, Mkoani Katavi. Hifadhi hii inasadikiwa kuwa ya tatu kwa ukubwa wake kati ya hifadhi zilizopo hapa Nchini Tanzania
Pamoja na Mbuga ya Katavi kubeba Wanyama wengi ndani yake bado kuna vyanzo mbalimbali ambapo vinazidi kupendezesha Mbuga hiyo, ambapo Mito midogo midogo ndani yake nayo inatiririsha maji yake katika Ziwa Rukwa![]() | |
Hifadhi ya Mbuga ya Katavi ikionekana na wanyama wapatikanao pamoja na Mito iliyopo ndani yake | . |
![]() |
Twiga Mnyama mwenye kuvutia ndani ya Hifadhi ya Katavi. |
![]() |
Tembo wapatikanao ndani ya hiadhi ya Katavi wakinywa maji katika Mto upatikanao ndani ya Katavi. |